BONYEZA PLAY
• Hata hivyo, Siku ya mwananchi ambayo inafanyika kwa mwaka wa pili sasa ikiwa na lengo la kutambulisha wachezaji wapya pamoja na wachezaji wakongwe watakaocheza msimu huu mpya wa 2023/2024.
•Mechi hii inatumika kama mechi ya kirafiki kwa Yanga katika maandalizi yake ya msimu mpya wa Ligi Kuu ya NBC unaotarajiwa kuanza Agosti 13 ambapo Yanga itashuka dimbani kumenyana na Simba kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. ngao ya jamii.
Post A Comment:
0 comments: