About

About
Hii ni tovuti ya kitanzania inayoendeshea shughuli zake nchini Tanzania chini ya usimamizi wa NGOMBOZI MEDIA COMPANY . Tovuti hii inakupa fursa ya kujua na kupakua nyimbo mpya na za zamani za Bongo flava, India, pamoja na Filamu . Yapo mengi kuhusu burudani kwa ujumla utakapotembelea www.ngombozi.com . Haiishii hapo tovuti hii kadri siku zinavyozidi kusonga mbele ndio inazidi kuboresha huduma zake na kuzisogeza karibu. Imani ya wengi inawapelekea kuamini kuwa umakini unaoonyesha hivi sasa na timu ya usimamizi wa tovuti hii utaifanya izidi kuwa maarufu huku ikisogeza huduma karibu na wateja hasa wapenda burudani ya muziki wanaopendelea sana matumizi ya mtandao. Kwa ufupi kabisa hiyo ndiyo Ngombozi media Tovuti ya muziki inayoendeshea huduma zake nchini Tanzania.

Dont Miss

CV Of Miguel Angel Gamondi New Yanga (Young Africans) Head Couch

CV Of Miguel Angel Gamondi New Yanga (Young Africans) Head Couch
Share it:

Yanga Club has announced Miguel Angel Gamondi (59), an Argentinian, as its new Head Coach. Miguel Angel Gamondi has coached various teams including Wydad Casablanca of Morocco, Mamelod Sundowns of South Africa and CR Belouzdad of Algeria.


Coach Miguel Angel until he was announced as the Head Coach of Yanga had coached a total of 13 clubs in his soccer career with the Burkina Faso National Team.


Share it:

NEWS

Post A Comment:

0 comments: