Siyo mara moja unapopigwa mzinga na unataka kuonyesha hauna hela, msisitizo huwa unatoka na
mwanangu sina hata miaaaaaa!
Hiyo kauli imeshazoeleka kitaani na imekuwa ikitumika kwa lengo la kutumia udogo i wa shilingi 100 ili
mpigwa mzinga aaminike machoni mwa aliyemuomba hela kwamba hana pesa. Umenipata Eh? Hivyo
ndivyo tunavyoishi kitaa.
JITI hata nyumbani huwa na chimbo lake maalum mara nyingi usipolifuma uvunguni, basi limeponea
chupu chupu kufuliwa kwenye nguo.
Wakati unapiga povu, Dah! ndiyo unalishtukia JITI hili hapa.
Tofauti ya mchezo imeletwa na BETIKA! Siku hizi Shilingi 100 siyo ndogo, INATOSHA BWANAA!! Mia sasa
ina thamani na Inatosha kabisa kukufanya ushinde mpaka Shilingi 30,000,000 utingishe kitaa na watu
wako wa nguvu.
Rahisi sana cha kufanya we Tembelea www.betika.co.tz Jisajili na uanze kubetika katika ligi mbali mbali
ulimwenguni alafu kizuri zaidi unapojisajili unalamba 1,000 na ukabetika ODDS KUBWA na dau dogo la
kuanzia SHILINGI 100 tuuuu! Unaachaje mtelezo huu ukupite? TWENDE KIBINGWA.