About

About
Hii ni tovuti ya kitanzania inayoendeshea shughuli zake nchini Tanzania chini ya usimamizi wa NGOMBOZI MEDIA COMPANY . Tovuti hii inakupa fursa ya kujua na kupakua nyimbo mpya na za zamani za Bongo flava, India, pamoja na Filamu . Yapo mengi kuhusu burudani kwa ujumla utakapotembelea www.ngombozi.com . Haiishii hapo tovuti hii kadri siku zinavyozidi kusonga mbele ndio inazidi kuboresha huduma zake na kuzisogeza karibu. Imani ya wengi inawapelekea kuamini kuwa umakini unaoonyesha hivi sasa na timu ya usimamizi wa tovuti hii utaifanya izidi kuwa maarufu huku ikisogeza huduma karibu na wateja hasa wapenda burudani ya muziki wanaopendelea sana matumizi ya mtandao. Kwa ufupi kabisa hiyo ndiyo Ngombozi media Tovuti ya muziki inayoendeshea huduma zake nchini Tanzania.

Dont Miss

Zuchu nyimbo mpya audio Download

Zuchu nyimbo mpya audio Download
Share it:

Zuhura Othman Soud , best known for her stage name Zuchu, is A Tanzanian Musician, Songwriter, and performer signed By Diamond Platnumz’s music label, ‘WCB Wasafi’ She is undeniably the most promising artist from Tanzania at the moment having topped the African charts on different platforms with her debut track “Wana” and her debut Extended Playlist dubbed ‘’I Am Zuchu’’. Download Zuchu Latest mp3 songs 2023 Albums, Music & Video only here on https://www.ngombozi.com/?m=1

RELATEDZuchu - HONEY

She first rose into the music scene in 2015 from the first edition of TECNO OWN THE STAGE in Lagos, Nigeria. Zuchu is the daughter of the Tanzanian legendary taarab musician, Khadija Kopa.



Share it:

Audio

zuchu

Post A Comment:

0 comments: