Pamoja na kwamba Casto alichora bonge la Tattoo ya Jina la Tunda Kwenye Mkono wake lakini aliishia wiki chache zilizopita na siku ya jana ameonekana Kwenye Birthday party Diamond.
Diamond alionekana akicheza na Tunda kwa ukaribu sana kiasi ya kupelekea kuzua tetesi za kuwa Tunda kamtosa Casto na Kurudisha majeshi yake kwa Diamond.
Siku ya jana ilikuwa ni Birthday party ya Diamond na housewarming party ya nyumba yake mpya ambapo alifanya Private party na kualika Mastaa kibao ikiwemo timu nzima ya WCB , Navy Kenzo, Dully Sykes, Billnas, Tunda na wengineo.