About

About
Hii ni tovuti ya kitanzania inayoendeshea shughuli zake nchini Tanzania chini ya usimamizi wa NGOMBOZI MEDIA COMPANY . Tovuti hii inakupa fursa ya kujua na kupakua nyimbo mpya na za zamani za Bongo flava, India, pamoja na Filamu . Yapo mengi kuhusu burudani kwa ujumla utakapotembelea www.ngombozi.com . Haiishii hapo tovuti hii kadri siku zinavyozidi kusonga mbele ndio inazidi kuboresha huduma zake na kuzisogeza karibu. Imani ya wengi inawapelekea kuamini kuwa umakini unaoonyesha hivi sasa na timu ya usimamizi wa tovuti hii utaifanya izidi kuwa maarufu huku ikisogeza huduma karibu na wateja hasa wapenda burudani ya muziki wanaopendelea sana matumizi ya mtandao. Kwa ufupi kabisa hiyo ndiyo Ngombozi media Tovuti ya muziki inayoendeshea huduma zake nchini Tanzania.

Dont Miss

Matokeo ya Form Two 2023 Na Darasa La Nne 2023

Matokeo ya Form Two 2023 Na Darasa La Nne 2023 | Form Two And Standard Four Results 2023
Share it:

Matokeo ya Form Two 2023 Na Darasa La Nne 2023 | Form Two And Standard Four Results 2023 

Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) limetangaza taarifa ya matokeo ya upimaji wa kitaifa wa darasa la nne na kidato cha pili uliofanyika October/November 2022 ambapo kwa upande wa kidato cha pili jumla ya Wanafunzi 539,645 kati ya 633,537 wenye matokeo ambao ni sawa na 85.18% wamefaulu ambapo wamepata Madaraja ya 1, Ill na IV.


“Kati yao Wasichana ni 283,541 sawa na 83.05% na Wavulana ni 256,104 sawa na 87.67%, mwaka 2021 Wanafunzi waliofaulu walikuwa 555,857 sawa na 92.32%”

Share it:

NEWS

Post A Comment:

0 comments: