About

About
Hii ni tovuti ya kitanzania inayoendeshea shughuli zake nchini Tanzania chini ya usimamizi wa NGOMBOZI MEDIA COMPANY . Tovuti hii inakupa fursa ya kujua na kupakua nyimbo mpya na za zamani za Bongo flava, India, pamoja na Filamu . Yapo mengi kuhusu burudani kwa ujumla utakapotembelea www.ngombozi.com . Haiishii hapo tovuti hii kadri siku zinavyozidi kusonga mbele ndio inazidi kuboresha huduma zake na kuzisogeza karibu. Imani ya wengi inawapelekea kuamini kuwa umakini unaoonyesha hivi sasa na timu ya usimamizi wa tovuti hii utaifanya izidi kuwa maarufu huku ikisogeza huduma karibu na wateja hasa wapenda burudani ya muziki wanaopendelea sana matumizi ya mtandao. Kwa ufupi kabisa hiyo ndiyo Ngombozi media Tovuti ya muziki inayoendeshea huduma zake nchini Tanzania.

Dont Miss

SIMBA SC Vs VIPERS (1-0) in Mkapa Studium in Champions League

SIMBA SC Vs VIPERS (1-0) in Champions League
Share it:

Zambian midfielder Clatous Chama Dalila's 45th goal has given Simba SC a 1-0 win against Vipers of Uganda in the African Champions League Group C game today at the Benjamin Mkapa Stadium in Dar es Salaam.


The victory makes Simba SC reach six points and move to second place, behind Raja Casablanca with 12 points and ahead of Horoya with four points and Vipers one point after they all played four matches.


The victory keeps alive Simba SC's hopes of going to the Quarter Finals of the championship for the last two matches against Horoya Dar es Salaam on March 18 and Raja Casablanca in Morocco on March 31.


Share it:

NEWS

Post A Comment:

0 comments: