Netblocks imesema nyaya za mawasiliano za chini ya habari za SEACOM na EASSy zimeharibika kutokana na hitilafu hiyo ambapo Msumbiji na Malawi wamepata athari kwa wastani huku tatizo hilo likitatuliwa Kenya ambao wameendelea kutumia internet kama kawaida.
Nchi nyingine zilizoathirika ni Burundi, Somalia, Rwanda, Uganda, Madagascar na Visiwa vya Comoros ambazo nazo zilipata shida ya changamoto ya internet kwa kiasi cha chini.
Post A Comment:
0 comments: