Timu ya Wananchi, Yanga imetwaa ubingwa kwa kumchapa Mtani wake (Simba) mechi zote mbili..
Ubora wa kikosi cha Yanga umewapa ubingwa.. Hongera Yanga kwa ubingwa.. Hongera Simba kwa kumpa Yanga ushindani mpaka dakika ya mwisho
Magoli ya Yangasc yamefungwa na Pacome (p) na Clement Mzize
No comments