Msanii kutoka Nigeria Ayodeji Ibrahim Balogun maarufu kama Wizkid ameachia audio za nyimbo mbili ambazo zinakwenda kwa Fever na Master Groove, Licha kuonekana kuwa kimya kidogo kutoa nyimbo zake mwenyewe ingawa anaendelea kushirikishwa na wasanii mbalimbali kutoka katika lebo yake ya Star boy pia hata nje ya lebo hiyo wengine wakitoka hapo hapo Nigeria lakini pia wengine wakitoka nje ya nchi hiyo,Msanii Wizkid jana usiku amefanikiwa kuachia audio za nyimbo zake mbili ambazo ni “FEVER” pamoja na MASTER GROOVE”
“FEVER”
“MASTER GROOVE”
Kwa habari kama hizi hakikisha unakaa nasi kupitia mitandao yetu ya kijamii NGOMBOZI MEDIA